RAIS SAMIA AKUTANA NA MZEE MWINYI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi ambaye alifika kumsalimia Rais Samia Nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo tarehe 12 Aprili, 2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Rais Mstaafu wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed